Wednesday, December 23, 2015

FAIDA ZA KUNYWA MAJI ASUBUHI









UNYWAJI WA MAJI

Katika mwili wa binadamu, unywaji wa maji husaidia siyo tu kuondoa kiu anayokuwa nayo mtu, bali pia maji husaidia kufanya kazi mbalimbali katika mwili ikiwa ni pamoja na kutuepusha dhidi ya magonjwa mbalimbali.
Maji huchukua karibu asilimia sabini (70%) ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu asilimia themanini na tano (85%) ya maji, misuli huwa na asilimia sabini na tano (75%) ya maji, mifupa huwa na asilimia ishirini na tano (25%) ya maji na damu huwa na karibu asilimia themanini na mbili (82%) ya maji.
Watu wengi tunayo mazoea ya kunywa maji pale tunapojisikia kufanya hivyo, ila kiafya miili yetu huhitaji maji muda wote. Tunapokunywa maji muda wa asubuhi tunapoamka, tunapata faida zifuatazo:
  • Kunywa maji asubuhi kabla hujala kitu chochote, huwezesha utumbo kufyonza chakula vizuri na kufanya virutubisho viingie mwilini kwa urahisi.
  • Husaidia ukuaji wa ngozi yenye afya kwani maji huwezesha sumu mbalimbali zilizoko kwenye damu zitoke mwilini.
  • Kunywa maji asubuhi husaidia kuweka uwiano katika kinga ya mwili na hivyo kuuwezesha mwili kupambana na magonjwa na kukupa uwezo wa kufanya kazi zako siku nzima.
  • Maji yanaponyweka asubuhi huwezesha seli mpya katika misuli na damu kutengenezwa kwa haraka zaidi na kuzidi kukufanya kuwa na afya imara.
  • Unywaji wa maji asubuhi imegundulika kuwa husaidia kuondoa matatizo kama vile kuhisi kichefuchefu, matatizo ya koo, matatizo ya macho, matatizo ya tumbo kama kuharisha, matatizo ya figo, mkojo, matatizo ya kupata maumivu ya kichwa na mengine mengi.

Ili kuweza kupata matokeo mazuri kiafya kwa kunywa maji asubuhi, ni vizuri ukazingatia yafuatayo:
 Kwanza ni kuhakikisha muda wa  saa moja kabla ya kunywa maji uwe hujala kitu chochote na pia baada ya kunywa maji, subiri kwa muda wa saa moja ndipo ule chakula. 
Pili ni kuhakikisha kuwa kiwango cha maji utakayokunywa ni sawa na lita moja na nusu yaani sawa na glasi sita, ni ngumu kunywa kama mtu ndiyo unaanza lakini kadri siku zinavyoenda mwili utazoea na unaweza kuanza kwa kunywa glasi tatu za maji ukapumzika kama muda wa dakika kadhaa halafu ukamalizia glasi nyingine tatu zilizobaki. 
Jambo la tatu ni kwamba, uwe hujatumia kinywaji chenye kilevi usiku, kwa maana kwamba isije ikawa usiku umetumia kilevi halafu asubuhi ukategemea unywe maji na kupata matokeo sawa na mtu ambaye hakutumia kinywaji chenye kilevi au pombe.
Maji ni kwa ajili ya afya na uhai wetu, tujenge mazoea ya kunywa maji yanayotosheleza mahitaji ya miili yetu. Kwa siku kunywa lita mb

“KUNYWA MAJI KWA AFYA YA MWILI WAKO"

ili mpaka tatu za maji husaidia kuuweka mwili katika hali nzuri kiafya.

Maradhi ya Bawasiri ,Mgolo, Mjiko (hemorrhoids)

MARADHI YA BAWASIRI, MGOLO MJIKO 
(Hemorrhoid)
1) Maradhi ya bawasili, mgolo, mjiko
 Maradhi haya hushambulia njia ya haja kubwa. Hujitokeza kwa sura tofauti na hali tofauti. Kwa hapa Tanzania na Afrika Mashariki kwa jumla, aina tatu za maradhi haya ni maarufu sana na yamekuwa yakiwaumiza watu wengi. Katika makala hii nitazitaja aina hizi tatu:
i) Kutoka kinyama katika njia ya haja kubwa
Kuna vinyama vya aina mbili. Cha kwanza ni kirefu hutoka ndani ya njia ya haja kubwa baada ya haja kubwa au mtu anapochutama. Kwa lugha ya kitaalam huitwa skin tab. Cha pili ni kinyama kinachoota pembezoni mwa mzunguko wa njia ya haja kubwa. Kwa kitaalam hiki huitwa external hemorroid . Hizi ni aina mbili za vinyama vinvyoota njia ya haja kubwa.
ii) Mpasuko katika njia ya haja kubwa
Walio wengi hupata maradhi haya. Njia ya haja kubwa hufanya mchaniko pembeni (anal fissure). Mchaniko huu husababisha maumivu makali sana hata mtu hushindwa kukaa. Mara kwa mara hutoa damu hasa mtu anapojisaidi haja kubwa. Maumivu makali hupatina.
iii) Kushuka nyama kubwa njia ya haja kubwa
Baadhi ya walio wengi hushukwa na nyama katika njia ya haja kubwa. Baadhi ya watu wa pwani hasa visiwani huliita nyama hili ni futuru. Hii ni moja ya aina ya maradhi ya bawasili, mgolo, mjiko.
Kwa kuwa hizi ni aina muhimu zinasosumbua sana hapa ukanda wa pwani wa Afrika Mashariki naomba tuishie hapo. Mungu akipenda siku nyingine utaangalia maradhi mengine


2) Sababu za maradhi ya bawasili (mgolo, mjiko)
Zipo sababu kuu sita za maradhi haya nazo ni:
a) Kuinua vitu vizito (kujikamua)
b) Kukaa kitako (kukaa chini) muda mrefu (mkandamizo wa njia ya haja kubwa)
c) Kujikamua sana wakati wa haja kubwa: hasa kwa wanaopata choo kigumu (constipation)
d) Kuharishamuda mrefu
e) Kuzaa
f) Kuingiliwa kinyume na maumbile hasa uume ukiwa mkubwa kuliko njia


3) Athari za maradhi haya
Mambo yafuatayo hujitokeza kwa mtu ambae anasumbuliwa na maradhi haya
i) Huwa hana hamu ya endo la ndoa (kwa mwanamke na hata kwa mwaname)
ii) Mwili huwa unachoka sana hasa alfajiri
iii) Mwanamme humaliza haraka tendo la ndoa (hufika kileleni haraka sana) kabla mwenza hajakolea
iv)Sehemu za nyuma huwasha (baadhi ya watu)
v )Kiuno huuma na hukaza sana
 Wengine huumwa na miguu


 MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI

~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa na anion chip kubandika mahali penye tatizo na kuondoa tatizo Hilo
~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
��KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
��KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6-12 Kwa siku
��EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
��kupata upungufu wa damu (anemia)
��Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
��hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake


Wahi hospitali mapema 
Bawasiri inatibika
More contacts lizshayo@gmail.com

Sunday, December 20, 2015

JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU YAKO YA HATARI YA KUPATA MIMBA

JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU YAKO YA HATARI YA KUPATA MIMBA



Siku za hatari za mwanamke ni zipi?
Hizi ni siku ambazo mwanamke akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda kama ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo.

Utazijuaje siku hizo?
Kwanza kabisa ili ujue siku zako za hatari lazima ujue idadi ya siku za mzunguko wako. Kuna aina tatu za mzunguko.. mzunguko mrefu ambao unachukua siku 35, mzunguko mfupi unaochukua siku 25 na ule wa kawaida unaochukua siku 28 na ndio mzunguko ambao watu wengi wanao. 

Unajuaje mzunguko wako?
Hesabu siku tangu siku ile ya kwanza uliyoona siku zako za hedhi mpaka siku moja kabla ya kuona siku zako za hedhi zinazofuata. Unashauriwa uchukue miezi mitatu mpaka  sita ukihesabu ili ue na uhakika kwamba mzunguko wa tarehe zako haubadiliki, kama umeshahesabu siku za nyuma kabla ya kusoma makala hii ni vizuri pia. Mfano umeanza kuona siku zako tarehe moja mwezi wa nne alafu ziko zako zingine ukaziona tarehe 29 mwezi wa nne, chukua 29 toa 1 utapata 28.. maana yake wewe unamzunguko wa siku 28.

Je siku za hatari ni zipi?
siku ya hatari ni siku ya 14 kabla ya kuona hedhi inayofuata na sio siku ya 14 baada ya kuona hedhi iliyopita na hapa ndio watu wengi wanachanganya na kupata mimba. 

Mfano kama mzunguko wako ni siku wa kawaida siku  28, chukua 28 toa 14 utapata 14. Hivyo siku yako ya hatari ni siku ya 14, lakini kwa kua mbegu ya kiume inaweza kuishi mpaka siku tano na yai la kike linaweza kuishi mpaka masaa 24 ndani ya mfuko wa uzazi basi siku nne kabla na siku moja baada ya siku ya 14 ni hatari hivyo siku za hatari ni ni siku ya 10,11,12,13,14 na 15.

Kama mzunguko wako ni mrefu labda  siku 36 basi chukua 36 toa 14 utapata 22. Hivyo siku ya 22 ni hatari na zingine ni 18,19,20,21,22 na 23.

Kama mzunguko wako ni mfupi, mfano mzunguko wa siku 21, sasa ukichukua 21 ukatoa 14 unapata 7 yaani siku ya saba ni hatari kwa huyu mtu.hivyo siku zingine za hatari ni 3,4,5,6,7 na 8.


Dalili kwamba uko kwenye siku za hatari ni zipi?
Kuongezeka kwa joto kidogo, tumbo kuuma kidogo, na ute mweupe mwepesi kutoka sehemu za siri..

JINSI YA KUHESABU SIKU ZA HATARI ZA KUSHIKA MIMBA
Naomba ieleweke kwamba wanawake wametofautiana kwa asilimia kubwa sana katika mzunguko wao wa bleed hivyo kwa utangulizi tuu kuwa makini na jinsi unavyoanza bleed ili iweze kukusaidia katika kuhesabu kwako siku za hatari ..Na si kulinganisha siku ambayo labda ulianza sawa na rafiki yako



How to calculate 16 day m -cycle{jinsi ya kuhesabu siku zako}

mfano: umeanza kubleed leo tarehe 9/7/2015 kwa hiyo chukua daftari na andika na hesabu moja. hesabu kuanzia hapo mpaka utakapo fika 16 na ujue siku ya kumi na sita itaangukia tarehe ngapi? utakuja kuona siku ya 16 inaangukia tarehe 24/7/2015 hivyo your next bleed should start 25/7/2015. hivyo hivyo utaanza kuhesabu kutoka tarehe 25/7/2015 mpaka kumi na sita na utakuja kungundua kuwa siku ya kumi na sita itakuwa ni tarehe 9/8/2015. hivyo inatakiwa uanze kubleed tarehe 10/8/2015. hivyo utakuwa unahesabu vivyo hivyo kila mwezi.

Hivyo basi wanawake wanaobleed  ndani ya siku 18  na chini ya hapo huwa wana matatizo hivyo wanatakiwa waende kumuona daktari kwani kitaalamu sio sahihi. hivyo ikitokea mke wako anableed kwa siku 18  MPELEKE hospitali akapate ushari.

Angalizo: kuna wanawake wanaokuwa na mzunguko wa siku 24 au 26
[
U]
WANAWAKE WENYE MZUNGUKO WA SIKU 28 JINSI YA KUANGALIA SIKU SALAMA NA SIKU ZA KUPATA MIMBA 

MFANO
UMEANZA KUBLEED LEO TAHERE 9/7/2009 NA UNA MZUNGUKO WA SIKU 28


9, 10,11,12,13,14,15,16,17,18,19, 20,21,22,23,24,25,26,27,28,29, 30,31/JULAI
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 1516 17 18 19 20 21 22 23

1, 2, 3, 4, 5/AUGUST
24 25 26 27 28

HIVYO THE NEXT BLEED WILL BE TAREHE 6/AUGUST 2015
NYEKUNDU INAMAANISHA SIKU ZA HATARI

HIVYO BASI SIKU SALAMA NI BAADA YA DAMU KUKATA UNAWEZA KUANZA KUMTUMIA MAMA LAKINI IKIFIKA SIKU YA KUMI NA TATU YAI HUWA LIKO YATARI NA HUANZA KUSHUKA. KIPINDI HIKI MAMA HUTOKWA NA UTE MZITO WA KUNATA AMBAO HUWA NI DAWA KWA AJILI YA KULINDA NA KUTENGENEZA MJI WA MIMBA KUWA TAYARI KUPOKEA MBEGU ZA KIUME KWA AJIRI YA URUTUBISHO .HIVYO MBEGU ZA BABA HUWEZA HUSAFIRI KWA URAHISI ZAIDI KATIKA MAJI MAJI HAYA.

WANAWAKE WENYE SIKU 30 

HEBU FIKIRI AMEANZA LEO TAREHE 9/7/2015

9,10.11.12.13,14,15,16,17,18,1 9,20,21,22,23,24,25,26,27,28,2 9,30,31/JULAI
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23

1, 2, 3, 4, 5, 6, 7 /AUGUST
24 25 26 27 28 29 30

HIVYO BLEED INAYOFUATA ITAKUWA TAREHE 8/8/2015

ANGALIA TOFAUTI KATI YA MTU ANAYEBLEED KWA SIKU 28 NA 30. HII NI KWAMBA YAI HUCHUKUA SIKU KUMI NA NNE KUHARIBIKA BAADA YA KUKOSA URUTUBISHO. HIVYO HATA MWANAMKE AWE NA MZUNGUKO WA 16,18,20,24,26,28.30.32.34 AU 40 AU ZAIDI. ITACHUKUA SIKU KUMI NA NNE ILI YAI LAKE LIWEZE KUHARIBIKA. NA SIKU YA KUMI NA TANO NDIO HUWA SIKU YA KWANZA KUANZA KUBLEED YAANI YAI LIMEKOSA URUTUBISHO.

VIVYO ANZA KUHESABU KUANZIA SIKU YA TAREHE 28 KURUDI NYUMA UTAKUTA KUWA SIKU YA KUMI NA NNE NI TAREHE 23. HIVYO SIKU YA HARATARI ITAKUWA TAREHE 22 LAKINI KWA KUWA YAI HUCHUKUA SAA 72 WAKATI LIKISUBIRI KURUTUBISHWA NDIO MAANA TUNAANZA NA SIKU YA 13 , 14, 15 TOKEA PALE ULIPOBLEED.

NA KWA MWANAMAMA ANAYECHUKUA SIKU 30 UKIHESABU KUANZIA 30 KURUDI NYUMA UTAGUNDUA KUWA SIKU YA 14 NI TAREHE 25/7

HIVYO SIKU YA HATARI NI TAREHE 24/7 NA KWA SABAU YAI HUKAA SIKU TATU HIVYO TAREHE 23,24, NA 25/7 /2009 AMBAZO NI SAWA NA SIKU YA 16, 17, NA 17 KATIKA KUHESABU MZUNGUKO

YULE WA SIKU THELATHINI NA MBILI ITAKIWA SIKU YA HATARI NI YA 18 NA SIKU ZAKE TATU ZA HATARI NI 17, 18 NA 19 AMBAZO TAREHE 25,26,27/JULY KAMA SIKU ZAKE ZA HATARI.......

SKIN AND GENITAL WARTS (MASUNDOSUNDO)

TIBA YA UGONJWA WA KUOTA KINYAMA SEHEMU ZA SIRI NA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI (GENITAL WARTS & SKIN) IMEPATIKANA WAHI MATIBABU SASA!!!


FAHAMU UGONJWA WA MASUNDOSUNDO AU KUOTA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI (GENITAL WARTS & SKIN)

~GENITAL WARTS ni nini?!!
~ni ugonjwa wa kuota vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando Laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri.
~vinyama hivyo vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), vulva, na shingo ya kizazi au maeneo yanayozunguka haja kubwa, ugonjwa huu huenezwa kwa njia ya kujamiiana (SEXUAL TRANSMITTED INFECTION (STI)
CHANZO CHA TATIZO HILI
Ugonjwa wa Masundosundo husababishwa na virus waitwao HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV) hata hivyo Kuna Aina 70 tofauti za virus wa HPV hivyo sio wote wanaosababisha tatizo hili kwani Kuna ambao wanasababisha Masundosundo katika mwili sehemu tofauti kama vile mikono, miguu, mgongoni, NK pia wapo wanaosababisha saratani ya shingo ya kizazi (CARCINOMA OF THE CERVIX),saratani ya uume na saratani ya njia ya haja kubwa (ANAL CANCER) kwa jinsia zote mbili
°ugonjwa huu wa Masundosundo umejitokeza kwa kiasi kikubwa baada ya kuwepo kwa janga la UKIMWI hivyo watu wenye wapenzi wengi, wanaofanya mapenzi kwa njia ya haja kubwa, wajawazito, watumiaji wakubwa wa sigara na pombe, watu wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo Wana hatari ya kupata tatizo hili.
DALILI ZA MASUNDOSUNDO
mgonjwa wa tatizo hili hutokewa na vinyama Laini vidogovidogo vinavyojitokeza juu ya ngozi katika maeneo tofauti (MFANO HALISI TIZAMA KATIKA PICHA HIZO) ingawa wakati mwingine huwa ni vidogo kiasi cha kutoweza kuonekana kwa njia ya kawaida

  • mgonjwa kupata ganzi maeneo yaliyozungukwa na Masundosundo
  • kutokwa na uchafu sehem za siri na kuwashwa kupita maelezo
  • kutokwa damu ukeni mara baada ya kufanya tendo la ndoa MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA HUU

°matibabu ya tatizo hili hupatikana kirahisi nchini Tanzania na tiba hutolewa kwa kufuata utaratibu wa Majibu yaliyopatikana katika vipimo mbalimbali ambapo matibabu huwenda kuwa kufanyiwa operation kuondoa vinyama ingawaje tiba hii haina ufanisi mzuri kwasababu huweza kutengeneza madhara zaidi na uwezekano mkubwa wa kupata kansa hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa ambazo zitatibu na kuondoa tatizo hilo na mgonjwa kupona kabisa ila cha kuzingatia ni kwamba ugonjwa huu ni wa kuambikiza hivyo inashauriwa wenza wote kupata matibabu hata kama atajihisi hana dalili yoyote ni vyema akafanya vipimo ili kujihadhari kabla ugonjwa haujaleta madhara zaidi na uwezekano mkubwa ~Waswahili wanasema bora kinga kuliko matibabu hivyo ni bora ukaepuka ugonjwa huu kwa kuepuka yafuatayo


  • EPUKA KUWA NA WAPENZI WENGI
  • EPUKA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
  • EPUKA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, SIGARA NA POMBE
  • ACHA ORAL SEX KAMA UTASHINDWA BASI KUA NA MPENZI MMOJA TU UTAKAYEKUA UNAMNYONYA SEHEMU ZA SIRI ZINGATIA MAPENZI NI UJUZI LAKINI AFYA YAKO NI MALI ZAIDI WADADA /WAKAKA WENGI MMEKUA MKIFANYA HIVI KWA LENGO LA KUWARIDHISHA KILA MNAOKUTANA NAO KIMWILI KITU KINACHOKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA TATIZO HILI AU KANSA YA KOO

NOTED :NDUGU RAFIKI Ugonjwa huu una madhara makubwa unaweza kusababisha kansa ya kizazi, kansa ya uume, kansa ya njia ya haja kubwa NK hivyo ni vyema ukapata matibabu ya uhakika iwapo una tatizo hili na kama hauna tatizo hili ni vyema ukajiepusha na ugonjwa huu

Thursday, December 17, 2015

CHOLERA

Cholera

Bacterial Infections 101 Pictures Slideshow

Cholera

  • Cholera is a disease caused by bacteria that produce a waterydiarrhea that can rapidly lead todehydration.
  • Cholera symptoms and signs include a rapid onset of copious, smelly diarrhea that resembles rice water and may lead to signs of dehydration (for example,vomiting, wrinkled skin, low blood pressuredry mouth, rapid heart rate).
  • Cholera is most frequently transmitted by water sources contaminated with the causative bacterium Vibrio cholerae, although contaminated foods, especially raw shellfish, may also transmit the cholera-causing bacteria.
  • Cholera is presumptively diagnosed by patient history and examination of stool for rice-water appearance and presence of V.cholerae-like organisms microscopically; definitive diagnosis is done by isolation and identification of V. cholerae from stool samples.
  • The main treatment for cholera is fluid and electrolyte replacement, both oral and IV. Antibiotics usually are used in severe infections in which dehydration has occurred.
  • The prognosis of cholera ranges from excellent to poor. Rapid treatment with fluid andelectrolytes result in better outcomes while people with other health problems beside cholera or those who are not rapidly replenished with fluid treatments tend to have a poorer prognosis.
  • It's possible to prevent cholera with appropriate measures such as safe drinking water and non-contaminated foods; some protection can be obtained from oral vaccines while avoiding areas where cholera commonly occurs or has had a recent outbreak.